Uzi wa kwanza baada ya JamiiForums kurudi, ulimmiss nani na nini?

Uzi wa kwanza baada ya JamiiForums kurudi, ulimmiss nani na nini?

Hahahaaa. Usijali na weye nimekuweka tayari. Japokuwa kwa ukhuty pia waeza yapata.

Ushawahi kula Makopa ya nazi lakini? Sababu yale ni habari nyingine. Teh teh
Wallah huwa nayasikia tuu, sasa hii ndio fursa yenyewe ukhuty umepata ujumbe huo?
 
Back
Top Bottom