Nakazia nilikuwa nachukiaKero ni kutumwa na kila mtu kisa wewe ndio mdogo[emoji134]
Pole sana kaka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Katika kuwafundisha tu
Raha yake tunadekezwa
Haki malast born tunaonewa sana, wakati sisi ndio tunalundikiwa mikazi yote, utasikia 'yaani mimi nipike wewe upo'? Acheni mambo hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ndio maana!!!Uzi wetu malast born.
Ila malast born kuna kafavour flani tunapewa nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkubwa mkubwa tuMnajionaga mnajua kila kitu[emoji85][emoji85][emoji85]
Na ubabe kama wote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yanakuwaga machokozi halafu ukiyadunda utasikia mama mtoto anaonewa.
Dada yangu ilikuwa nikijua leo anapika nilikuwa namkimbia maana kutumwa hakuishi unapeleka hiki hujakaa chini tena lete kile😀😀😀😀[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Katika kuwafundisha tu
Unazunguka hadi basi, unaishia kunung'unikia ndani kwa ndani tu.Nakazia nilikuwa nachukia
Tunatumwa SanaKero ni kutumwa na kila mtu kisa wewe ndio mdogo[emoji134]
Mkuu, mimi nilikuwa nawagomea wakiona mama katoka nakula vibano hatari😷Dada yangu ilikuwa nikijua leo anapika nilikuwa namkimbia maana kutumwa hakuishi unapeleka hiki hujakaa chini tena lete kile😀😀😀😀
Bahati yao hatukuwa na akili za Mai Zumo, unamsombea hadi mkeka then unasepa zako.Dada yangu ilikuwa nikijua leo anapika nilikuwa namkimbia maana kutumwa hakuishi unapeleka hiki hujakaa chini tena lete kile[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahahaha.... tupo tupooooo!!View attachment 1384357
Lastborn wana raha utasikia mwacheni mtoto
Hata akiwa mkate mzima wengine mkose hata hafokewi sasa kula wewe ambae wa pili kuzaliwa utaona cha mkutema kuni [emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuu, nimejikuta nasononeka upya tenaAmiin...amwondoshee kabsa hzo adhabu
Yaani hata kijiko kiwe pembeni unatumwa kachukue ni sawa walitufunza wabarikiwe huko walipo.Mkuu, mimi nilikuwa nawagomea wakiona mama katoka nakula vibano hatari😷
Amen...Poleni sana. RIP The Young One!
Mungu ampunguzie adhabu huko alipo.
Sent using Jamii Forums mobile app