mliyataka wenyewe😂 hapo mashine ya umbea imepumzika..Na mlivyo wambeya sasa [emoji1787]
😀😀 yaan we acha tu[emoji3][emoji3][emoji3]aisee kweli ulikachapa mpaka ukaamua kukapooza kwa kiepe.
Huyo mama nae anazingua yani dogo aitwe kaka[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wa Masaki we sugu unazitolea wapi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Shika adabu yako we binti mimi na ulaini wapi na wapi [emoji134][emoji134] sugu zimenijaa kwa ajili ya kulima
Kama ulikuwa hufanyi hivyo basi wewe ndo wale kina pilato kipigo kwako ni njenje..😂 ila mi nafurahia kuwa na sista kuliko mi bro mibishi mibishi tu endapo muda mwengine ilikuwa ikinisevu kwenye kutoa kipigo ila sometimes kipigo Chao kiliniangukia Mimi badala ya adui zangu😂Hahaha
Me nilikuwaga sifanyi hizooo
Terrorists of the house and society[emoji23][emoji23][emoji23]Uzi wetu malast born.
Ila malast born kuna kafavour flani tunapewa nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdogo wangu ndio ana tabia ya kuwazingua wanaomzingua lastborn.Kama ulikuwa hufanyi hivyo basi wewe ndo wale kina pilato kipigo kwako ni njenje..😂 ila mi nafurahia kuwa na sista kuliko mi bro mibishi mibishi tu endapo muda mwengine ilikuwa ikinisevu kwenye kutoa kipigo ila sometimes kipigo Chao kiliniangukia Mimi badala ya adui zangu😂
Hata sisi kwenye familia yetu dada yetu wa kwanza mzee anampenda sanaKwenye familia yetu favor zote nakula Mimi firstBorn.
Tunasubiria deko tu!Firstborn acha tuwe wasoma comments tu
Hii sio haki kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]Terrorists of the house and society[emoji23][emoji23][emoji23]
Waite na wenzio waleView attachment 1384481
Khaaa binamuMwenzenu alijidai anajua sana kudeka, ikabidi nimuwekee ratiba ya makwenzi, tukipishana namfinya hata bila kosa, pamoja na bakora za hapa na pale. Nikamuambia utadeka na kuleta jeuri muda mchache wazee wakiwepo, ila wakitoka unalo pumbaf. Toto lilikua jeuri lile!
Mbona kama viceversa kwenye familia yetu.Terrorists of the house and society[emoji23][emoji23][emoji23]
Waite na wenzio waleView attachment 1384481
Ha ha nafikiri ningekuwa mdogo wako ningechezea stiki za ukojozi na mishe za kupoteza hela maana dk mbili mbele nishakuambia nimepoteza hela kumbe nimeila utoto raha sana😂Mdogo wangu ndio ana tabia ya kuwazingua wanaomzingua lastborn.
Me michezo ya kupigana pigana siipendi, madogo wakinizingua nawahesabia siku nikichoka nazibua stick za mwaka mzima.
Kuna muda natamanigi kama ningekuwa n kaka ili nione maisha yangekuwaje
Wewe lastborn tupo intelligent.. nyie sahivi sindo mnatusumbua tuwarekebishieni simu zenu hata kufungua internet tu zinawapa tabu.. Halafu mnakuwaga wapole tukiwa tunawafundisha naweza hata kukutuma maji ya kunywa na ukaleta😂Mbona kama viceversa kwenye familia yetu.
1. True
2. Sifa za second born anazo third born..second wetu n mkimya
3.third born ndio stubborn kinyama, afu kiko much talented ..dogo anatunga hadithi, anachora, ana voice ya kufundisha na uwa anapractice kwa kufundisha maua 😀
4. Lastborn ndani mazingaombwe tu 😀😀
Mnadeka sana nyiee, lastborn wetu sasa eti akitoka shule kuingiza ndani viatu vyake vya shule tu eti amechoka dah. Yuko na 5yrs now[emoji3][emoji3]Uzi wetu malast born.
Ila malast born kuna kafavour flani tunapewa nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Si mmesema tunadekezwa ma last born?? Ila mimi sijawahi kuona hiloPampula nani hakupendi sasa?
Ndyo maana unapenda chura, kumbe lastborn huyoo.Last born mie![emoji18][emoji18][emoji18] View attachment 1384319