Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Kupendwa kupii?? Mimi niliona kawaida tu,kwanza bro walimpeleka mashule ya pesa nyingi,mimi nimekomaa na za government miaka yote,wangekua wananidekeza wasingekubali nisome kule mashenziniHata Mama hakukupenda?
Hahahha kumbe tupo wengi mpaka babu kirangaTunasubiria deko tu!
Kaka mkubwa firstborn Kiranga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mfyuuuuu masaki my foot hata sijui masaki iko wapiMtoto wa Masaki we sugu unazitolea wapi?
Mmmh nikileta mahari huyo atakubali kwel kukupoteza cha mdeko wake?😂😂😂😂Hata lastborn wetu naona hana favor zozote anazo pata, naonaga mie ndio napendelewa sijui ni sababu sio mkaaji sana wa nyumbani
Ila nyumbani kwetu watoto wote madeko mengi kwa mshua
Jamani, poleni sana mkuu.pumzika kwa amani mdogo wangu ....jana tuu nilikukumbuka , wakati nasikiliza wimbo wa Maroon 5-Memories , nawish ungekuwepo na mimi ningekuwa ninavimba kuwa na kabeauty sibling ,
Mama , kaka zako na dada yako Tumekumiss sana unaishi mioyoni mwetu Forever
Huo wizi sasaHa ha nafikiri ningekuwa mdogo wako ningechezea stiki za ukojozi na mishe za kupoteza hela maana dk mbili mbele nishakuambia nimepoteza hela kumbe nimeila utoto raha sana😂
Khaaa!! Jamani 😂😂 umri ukifika atakuwa hana namna tuMmmh nikileta mahari huyo atakubali kwel kukupoteza cha mdeko wake?😂😂😂😂
Kwa hiyo nisubiri?Khaaa!! Jamani 😂😂 umri ukifika atakuwa hana namna tu
Kumbe wewe last born!! Ndio maana unadeka.Si mmesema tunadekezwa ma last born?? Ila mimi sijawahi kuona hilo
Hahahaha wew dogo mi nimedeka wapii?Kumbe wewe last born!! Ndio maana unadeka.
Mimi juzi tu nimerudi nyumbani kusalimia mama akachinja kuku..anasema ale mtoto tu[emoji1787]Kumbe ndio maana!!!
Lastborn wetu mkorofi namimi ndiye mnyonge wake..anapenda pesa jama ni uwiii..usithubutu umpe pesa alafu unajua kwenye ile pesa Kuna masalia yanarudi hupati kitu.
Kijana mtata yule..[emoji3][emoji3]..ila ndiye kuli wetu wa nyumbani.
Juzi tu hapo katoka kunichekesha eti karudi kibaruani kavua viatu kamlalia bimkubwa miguuni..mama nae eti ooh mtoto kwa mama hakui..khaa!!
Ana huruma Sana na anapendwa na watu vibaya mno.
Ndiye mchizi wangu na msiri wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha mbali, zamani nakumbuka tumetoka mahali na mdogo wangu alikua mdogoo (kaka), njiani kuna jamaa akatujoin akaanza stories, aisee niliona dogo kakasirika huyo, akamzingua eti muache Dada ondoka[emoji3][emoji3] , nilishangaa alivomdogo na reaction yake, now amekua mkubwa basi huwa ananitania eti "nikimuona tena yule jamaa yako ntarusha ngumii"[emoji3]Uzuri wa kiziwanda unapewa ulinzi kuwaangalia dada mkitoka kwenda mahali.
Mama yangu ni mkali...ila bado kma ananidekeza fulani.Nafikili hii tabia yangu ya kudeka inatoka na Kuwa lastborn Mama alijua kunidekeza mno.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilishawahi kuchezeshwa kichapo Cha mbwa koko na bro kisa sijaosha vyombo[emoji23][emoji23]
Siku nyengine sijui nilifanyaje akanikurupua usiku ati anitwike mimboko ila limboko lenyewe lile halikuwa fimbo lilikuwa ni likuni nikaona ngoja nitumie nafasi yangu ya uziwanda imtese usiku huohuo nikakimbia kusikojulikana!! Kwani palilalika ni kunitafuta bi maza alimtukana kila tusi halafu wanaenda mpk mbali kunitafuta wkt mhuni nimejibanza jirani nawasikia tu[emoji23][emoji23]
Mziwanda Mimi nilikuwa mmwaga kojo hatari siku moja sista akanifungia kazi asubuhi tu nishachafua mashuka wacha anitimue nikiwa uchi mi nachekelea najiuliza huyu sister leo mbona kanigeukia halafu anambio utafikiri Hussein bolt!! Kanikamata kafura kunipiga hata hajanipiga wala nini moja kwa moja mpk bafuni ati nifue mashuka! Ndo kwanza nilikuwa natabasam maana kufua nilikuwa sijui wkt huo njemba nyengine zipo mlangoni zinashangaa tu akaja bi maza zote zikapisha akaingia akafua[emoji23][emoji23] na kojo liliendelea kama kawa haswa ninywe ile mi juisi kola ulikuwa unanukia mkojo wa kishenzi ule! Halafu hata waniwekee makaratisi ati kojo lisifike kwenye godoro wapi kojo lile lilikuwa na ufahamu litapata upenyo tu[emoji23][emoji23]
Uziwanda una tabu zake na raha zake
Kwahiyo kwakua huna dogo umeamua unipe mie hilo jina lol[emoji134][emoji134][emoji134]Hahahaha wew dogo mi nimedeka wapii?
Hongereni ma last born wote kwa kutokula misoto mikali as ma first born tuliyoila .. Wengi wenu ma last born mmezaliwa wakati majumbani kwenu kumeanza kua na neema.
*Last born wetu ni wa kiume wakati mdogo mzee alikataza wadogo zangu wa kike na dada wa kazi kumsafisha akiachia vitu (k!mb@) nikapewa mimi hicho kitengo.. Aiseh ilikua balaa maana nilikua na jikoki ni kama najikinga na corona, pua na mdomo naziba na nguo, mkononi navaa softi, I was just a boy pia nilikua na kinyaa ingawa dogo nae alikua anashusha vitu vyenye tbs.. Nashukuru Mungu amekua mkubwa na anataka awe pilot.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa nalia kipindi nilipokuwa naumwa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mie nilikuwa nalia.