Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Kupendwa kupii?? Mimi niliona kawaida tu,kwanza bro walimpeleka mashule ya pesa nyingi,mimi nimekomaa na za government miaka yote,wangekua wananidekeza wasingekubali nisome kule mashenziniHata Mama hakukupenda?