Uzi wa ma-lastborn tu

Uzi wa ma-lastborn tu

Hata lastborn wetu naona hana favor zozote anazo pata, naonaga mie ndio napendelewa sijui ni sababu sio mkaaji sana wa nyumbani

Ila nyumbani kwetu watoto wote madeko mengi kwa mshua
Mmmh nikileta mahari huyo atakubali kwel kukupoteza cha mdeko wake?😂😂😂😂
 
Ha ha nafikiri ningekuwa mdogo wako ningechezea stiki za ukojozi na mishe za kupoteza hela maana dk mbili mbele nishakuambia nimepoteza hela kumbe nimeila utoto raha sana😂
Huo wizi sasa
 
Lastborn wetu mkorofi namimi ndiye mnyonge wake..anapenda pesa jama ni uwiii..usithubutu umpe pesa alafu unajua kwenye ile pesa Kuna masalia yanarudi hupati kitu.

Kijana mtata yule..[emoji3][emoji3]..ila ndiye kuli wetu wa nyumbani.

Juzi tu hapo katoka kunichekesha eti karudi kibaruani kavua viatu kamlalia bimkubwa miguuni..mama nae eti ooh mtoto kwa mama hakui..khaa!!

Ana huruma Sana na anapendwa na watu vibaya mno.

Ndiye mchizi wangu na msiri wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseeeee
Lastborn wetu mkorofi namimi ndiye mnyonge wake..anapenda pesa jama ni uwiii..usithubutu umpe pesa alafu unajua kwenye ile pesa Kuna masalia yanarudi hupati kitu.

Kijana mtata yule..[emoji3][emoji3]..ila ndiye kuli wetu wa nyumbani.

Juzi tu hapo katoka kunichekesha eti karudi kibaruani kavua viatu kamlalia bimkubwa miguuni..mama nae eti ooh mtoto kwa mama hakui..khaa!!

Ana huruma Sana na anapendwa na watu vibaya mno.

Ndiye mchizi wangu na msiri wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzuri wa kiziwanda unapewa ulinzi kuwaangalia dada mkitoka kwenda mahali.
Umenikumbusha mbali, zamani nakumbuka tumetoka mahali na mdogo wangu alikua mdogoo (kaka), njiani kuna jamaa akatujoin akaanza stories, aisee niliona dogo kakasirika huyo, akamzingua eti muache Dada ondoka[emoji3][emoji3] , nilishangaa alivomdogo na reaction yake, now amekua mkubwa basi huwa ananitania eti "nikimuona tena yule jamaa yako ntarusha ngumii"[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishawahi kuchezeshwa kichapo Cha mbwa koko na bro kisa sijaosha vyombo[emoji23][emoji23]
Siku nyengine sijui nilifanyaje akanikurupua usiku ati anitwike mimboko ila limboko lenyewe lile halikuwa fimbo lilikuwa ni likuni nikaona ngoja nitumie nafasi yangu ya uziwanda imtese usiku huohuo nikakimbia kusikojulikana!! Kwani palilalika ni kunitafuta bi maza alimtukana kila tusi halafu wanaenda mpk mbali kunitafuta wkt mhuni nimejibanza jirani nawasikia tu[emoji23][emoji23]

Mziwanda Mimi nilikuwa mmwaga kojo hatari siku moja sista akanifungia kazi asubuhi tu nishachafua mashuka wacha anitimue nikiwa uchi mi nachekelea najiuliza huyu sister leo mbona kanigeukia halafu anambio utafikiri Hussein bolt!! Kanikamata kafura kunipiga hata hajanipiga wala nini moja kwa moja mpk bafuni ati nifue mashuka! Ndo kwanza nilikuwa natabasam maana kufua nilikuwa sijui wkt huo njemba nyengine zipo mlangoni zinashangaa tu akaja bi maza zote zikapisha akaingia akafua[emoji23][emoji23] na kojo liliendelea kama kawa haswa ninywe ile mi juisi kola ulikuwa unanukia mkojo wa kishenzi ule! Halafu hata waniwekee makaratisi ati kojo lisifike kwenye godoro wapi kojo lile lilikuwa na ufahamu litapata upenyo tu[emoji23][emoji23]

Uziwanda una tabu zake na raha zake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha wew dogo mi nimedeka wapii?
Kwahiyo kwakua huna dogo umeamua unipe mie hilo jina lol[emoji134][emoji134][emoji134]

Pampula unadeka bwana ndio maana ulisema umeacha pombe now unakunywa bia tu.
 
Hongereni ma last born wote kwa kutokula misoto mikali as ma first born tuliyoila .. Wengi wenu ma last born mmezaliwa wakati majumbani kwenu kumeanza kua na neema.

*Last born wetu ni wa kiume wakati mdogo mzee alikataza wadogo zangu wa kike na dada wa kazi kumsafisha akiachia vitu (k!mb@) nikapewa mimi hicho kitengo.. Aiseh ilikua balaa maana nilikua na jikoki ni kama najikinga na corona, pua na mdomo naziba na nguo, mkononi navaa softi, I was just a boy pia nilikua na kinyaa ingawa dogo nae alikua anashusha vitu vyenye tbs.. Nashukuru Mungu amekua mkubwa na anataka awe pilot.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu umeniua[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], hiyo kama unajikinga na Corona dah.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mie nilikuwa nalia.
Nilikuwa nalia kipindi nilipokuwa naumwa.
Ilikuwa nikiwatuma watu hwanisikii nilikuwa nalia Sana..naanza kutambaa chini kufwata mwenyewe

Mama akirudi akikuta nalia huo msala wake si wa kitoto..anasema msininyanyasie mtoto.

Ila mama yangu alikuwa mwalimu wangu,shule alikuwa ananitandika kma kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom