v0il0r
Member
- Jan 23, 2018
- 24
- 26
Uzi wa mafundi wa majumbani kama umeme, ujenzi, bomba na n.k + wenye nyumba lengo nikupata msaada au kutoa ushauri au unataka fundi Kwa wenye nyumba
Mfano: wewe una hitaji fundi wa umeme labda pasi, jiko, tv, short-circuit, n.k au ujenzi unaweza pata fundi contacts zake, au ukaomba ushauri
*Binafsi ni fundi umeme kama utahitaji msaada wa kifaa kama pasi, oven, micro-wave, fridge, n.k (Dar -kibamba, nicheki pm)
Karibu mafundi na wenye nyumba.
Mfano: wewe una hitaji fundi wa umeme labda pasi, jiko, tv, short-circuit, n.k au ujenzi unaweza pata fundi contacts zake, au ukaomba ushauri
*Binafsi ni fundi umeme kama utahitaji msaada wa kifaa kama pasi, oven, micro-wave, fridge, n.k (Dar -kibamba, nicheki pm)
Karibu mafundi na wenye nyumba.