marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,019
- 1,824
Kama inavyo fahamika kwenye ligi yoyote Dunia bingwa hua ni mmoja ,ligi kuu Tanzania bara imetamatika leo na Bingwa wa nchi Simba SC wamekabidhiwa kombe lao huku wapinzani wao wakuu Yanga SC wakitoka kapa, na hii ni kwa miaka minne mfululizo sasa.!
Ikumbukukwe uongozi wa Yanga uliwaahidi mashabiki na wadau wa Yanga kua msimu huu kombe uhakika na walisema kama wasipo lipata waulizwe!
Pasi na shaka Yanga kuanzia viongozi mashabiki na washika dau wa Yanga wana malalamiko juu ya kukosa ubingwa huo.
Huu ni uzi maalumu kwa ajiri ya wananchi au Yanga SC kuweka malalamiko yao yote kwa mtu ama taasisi yoyote wanayodhani ina stahiki lawama na kupelekea wao kukosa kombe msimu huu!
Ikumbukukwe uongozi wa Yanga uliwaahidi mashabiki na wadau wa Yanga kua msimu huu kombe uhakika na walisema kama wasipo lipata waulizwe!
Pasi na shaka Yanga kuanzia viongozi mashabiki na washika dau wa Yanga wana malalamiko juu ya kukosa ubingwa huo.
Huu ni uzi maalumu kwa ajiri ya wananchi au Yanga SC kuweka malalamiko yao yote kwa mtu ama taasisi yoyote wanayodhani ina stahiki lawama na kupelekea wao kukosa kombe msimu huu!