Nanren
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 3,135
- 3,392
Mhh, nalisikia kulikuwa na ujumbe maalum wa TFF umepiga kambi kule Cairo kufuatilia hilo suala. Ila naona kimyaa na hakuna mrejesho, sijui wamerudi au bado wanaendelea kula bhata za kiarabu!!
Isije ikawa TIEFUEFU wameamua kupotezea baada ya muamala kufanyika...