[emoji23][emoji23]Kwamba alijiandaa kudaka senene[emoji23][emoji23]
Una maanisha Mr Tanzania one aliotewa.....bila kujipanga?????Hapa anawaambia "hapo fresh, sasa naona" kabla hajaenda kati
View attachment 2397273
Ndio akili ya Utopolo hiyo.So unajionaje Mkuu kupost utoto
Tobo ukuona?Muulizen kipa wenu
InasikitishaNdio akili ya Utopolo hiyo.
ngoja trh 2 Desember tuone kwa Club Africains mnauwezo au mnabahatisha tu.Lile sio goli la kawaida mkuu.......manula atakuwa yupo kuuguza mgongo
Zero brain hapo anajiona kama amebuni chombo cha kwenda anga za juu.So unajionaje Mkuu kupost utoto