Uzi wa screenshot kutoka JamiiForum

Aldonae

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
598
Reaction score
394
JF raha bhana.Kuna kipindi unakutana na majibu ya kiduanzi,nyodo,makuzi,ucheshi n.k ambayo hutokutana nayo sehemu yeyote ile.Kama ulikua umenuna inabidi ufumue kicheko tuuu.Ukiyaona hebu "tuskinishotie" na sisi tuyasome.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi naanza na haya [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]


 
Unanikumbusha mwaka jana tupo china na mwenzangu ktk kukata mitaa jamaa yangu akaniuliza ile hoteli tuliokula cha kula cha mchana ipo sehem gani?bila ya kupoteza muda nikamjibu Gongo La Mboto[emoji1321]‍♂️
Jamaa akaniangaliaa akasema kwa hasira,oyaa acha upuuzi,nikamjibu mimi au wewe nani mpuuzi??
Wewe unajua wazi kabxaa huku china mimi na wewe wote wageni sawa na bubu na kiziwi.sasa iweje uniulize ati hoteli tulokula ipo mtaa gani[emoji38]
 
TAHADHARI

Mnaotumia tecno msiturushie mascreenshot yenu hapa. Simu zetu hatutaki ziingie virusi vya mabaamedi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utani wa ngumi huuu
 
huyu wa kuuliza 'kwani kaka kuona ni kaka yako" ni bwege sana kanichekesha balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…