Uzi wa screenshot kutoka JamiiForum

Bila kusahau uzi wa kutupia picha za mademu wakali
 
Hizo screenshot faiza foxy ni shida kwa majibu konki.
 
Hahaha hahaha hahaha
Bagamoyo ama bunju?! Halafu tabia yako ya kunisema na tecno yangu sitaki
Katecno kako kamefanana na ka yule mhudumu wa pale ghorofani Mamba Kotela. Nimekupa hela ya kununua Samsung sijui umemhonga nani. Unaniaibisha sana we hujui tu.
 
Katecno kako kamefanana na ka yule mhudumu wa pale ghorofani Mamba Kotela. Nimekupa hela ya kununua Samsung sijui umemhonga nani. Unaniaibisha sana we hujui tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu anakuona ujue!! Wewe wakunipa hela kweeeli nikahonge!! Nitafunga siku saba kwa ajili yako
 
Mkuu naona ukaamua kuni sikilini shoti [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu anakuona ujue!! Wewe wakunipa hela kweeeli nikahonge!! Nitafunga siku saba kwa ajili yako
Pale Mamsera nilikuhonga nini? Jifanye umesahau basi...
 
Hahahahahahaha lol!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…