I know naweza kuwa naingilia issue personal lakini nisamehe tu. Sio vizuri ukiacha chakula hivyo. Pakua unachoweza kumaliza. Hata kama hupakui wewe basi punguza kabla hujaanza kula.Before&after eating
Kweli kula sana kipaji[emoji119][emoji119]View attachment 1962922View attachment 1962925
Hata Mimi huwa sipendi kuacha chakula namna hiyo.I know naweza kuwa naingilia issue personal lakini nisamehe tu. Sio vizuri ukiacha chakula hivyo. Pakua unachoweza kumaliza. Hata kama hupakui wewe basi punguza kabla hujaanza kula.
Sio tabia nzuri kupakua chakula usichoweza kumaliza.
Sorry.
Sawa next time unajua chakufanya.Hata Mimi huwa sipendi kuacha chakula namna hiyo.
Niliomba nipakuliwe na nilidhani nitamaliza[emoji2362]
[emoji2362][emoji2362] yeah.Sawa next time unajua chakufanya.
I am sorry for that. Nilidhani labda ndio tabia yako.[emoji2362][emoji2362] yeah.
Nimejisikia vibaya,na wewe umekuja kunigongea msumari [emoji38]
Hapana[emoji38]I am sorry for that. Nilidhani labda ndio tabia yako.
That's good. Next time usimwambie mtu akupakulie pakua mwenyewe. Mkumbushe huyo binti kuwa ashukuru Mungu ana afford kupata huo mlo kuna watu hawana uwezo wa ku afford hivyo asitupe hovyo chakula.Hapana[emoji38]
Huwa napakua kiduchu.
Niko radhi niongeze iwapo sitatosheka kuliko niache.
Ila binti ninayeishi naye[emoji2362],,haoni tabu kupika ubwabwa na kuumwaga wote.
Niliongea hadi Nikachoka,ikabidi nifunge store,niwe napima mwenyewe chakula cha kupika.
Unadhani anaelewa basi!That's good. Next time usimwambie mtu akupakulie pakua mwenyewe. Mkumbushe huyo binti kuwa ashukuru Mungu ana afford kupata huo mlo kuna watu hawana uwezo wa ku afford hivyo asitupe hovyo chakula.
Duh anaonekana labda bado sio mwelewa. Unahitaji kuendelea kumwelewesha, mwambie hali halisi ya maisha ilivyo. Labda ameridhika na kujisahau.Unadhani anaelewa basi!
Nilifanya tu kufunga,japo ananiona nina roho mbaya ila bora iwe hivyo.
Nilivyoona anatapanya mno ikabidi unga,mchele,maharage nigawe gawe kwa wahitaji,chakula store kikabaki kidogo.
Siyo mara zote namanage kupima pima, sometimes namuachia funguo yaani nikirudi jioni nakuta chakula cha mchana kimejaa,na usiku amepika kingine.
Ni kujitoa tu ufahamu mkuu.Duh anaonekana labda bado sio mwelewa. Unahitaji kuendelea kumwelewesha, mwambie hali halisi ya maisha ilivyo. Labda ameridhika na kujisahau.
Mkumbushe asee. Hata kama angekuwa anatokea kwenye mboga saba anatakiwa aelewe uhalisia wa maisha yalivyo.Ni kujitoa tu ufahamu mkuu.
Maisha ya kwao alikotoka anayajua.
Siku moja nitatoka naye nimtembeze aone watu wanavyotafuta rizki .Mkumbushe asee. Hata kama angekuwa anatokea kwenye mboga saba anatakiwa aelewe uhalisia wa maisha yalivyo.
Kweli, Kachumbari nyingi muhimu hapo.Mh hadi mate. Imetulia na ile kachumbari ya mchuzi usipunjwe