Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

MDAU kwenye Gemu ya Zege kumbe kitambo! Hongera.

1944151_IMG_20181215_191906_2.jpeg
Duh [emoji38]
Mkuu umefukua picha yangu ya zege enzi hizo masomo yananinyanyasa sana.
 
Unadhani anaelewa basi!
Nilifanya tu kufunga,japo ananiona nina roho mbaya ila bora iwe hivyo.

Nilivyoona anatapanya mno ikabidi unga,mchele,maharage nigawe gawe kwa wahitaji,chakula store kikabaki kidogo.
Siyo mara zote namanage kupima pima, sometimes namuachia funguo yaani nikirudi jioni nakuta chakula cha mchana kimejaa,na usiku amepika kingine.
Huyo mdada kwao mkoa gani?
 
Back
Top Bottom