Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tips: 1; Akandie butter au margarine yoyote, dough liwe laini lakini lisilonata mikononi wala sehemu ya kusukumia (tunasema dough limeiva)
2; Asikate chapati ndogo ndogo/ nyembamba, Chapati zake ziwe zina kauzito fulani, sio kama zile za kwa mama niwekee.
3; achomee butter au hata mafuta ya kawaida, ila pan inaweza mbadilishia matokeo, atafute pan moja nzito na non stick.
Vikorombwezo vingine kama kukandia maziwa au nazi havibadili muonekano bali zinaongeza ladha. Btw, Hizo chappo kwenye picha mwenye nazo hongera zake, mimi zangu ni nzuri lakini sio kama hizo za kwenye picha nadhani nimeshaweka picha humu za chappo moja au mbili.
Salmon kwa Kiswahili wanaitwaje?
Huyu ndiye Samaki bora wa muda wote.Hivi mkuu huyu Samaki anapatikana Tanzania?
Naskia salmon anaongeza akili. Sijui ni kweli
Nina uhakika kwa asilimia kama 80 huyo salmon ni "kibua" kwa kiswahiliSalmon kwa Kiswahili wanaitwaje?
salmon sio kibua broNina uhakika kwa asilimia kama 80 huyo salmon ni "kibua" kwa kiswahili
Uwiiii[emoji39][emoji39]