Uzi wa vyakula tu

Wanaounguza Chakula inatakiwa waanzishiwe sredi yao 🤣🤣🤣🤣🤣
Hakijaunguzwa hiyo ni smoke BBQ.
Kuni na moshi mwingi hata majani inabidi vitumike then unaåata hiyo rangi na ladha unaweka mwenyewe kabla hujadumbukiza kwenye tanuru.
Day one marination
Day 2 smoking.👍
Ukiwa.na haraka masaa 24 tu una piga process zote ila inabidi uwe kama dereva wa fiat ni kufyatua gia tu.ukibugi kidogo tu inakula kwako.
Na siku hizi kuna Gas grill,unatupia kuni tu inatoa hiyo masaa 6-12 mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…