Aisee nimejikuta natafuta hii Id yako
Atakuwa ananizimia huyo mtu mpk kutumia jina languAisee nimejikuta natafuta hii Id yako
Baada ya kuifananisha na jamaa mmoja anafyeka nyasi humu ndani.
Hahaha wacha tumpotezee tusije tukaharibu uzi unaonifanya nanenepa.Atakuwa ananizimia huyo mtu mpk kutumia jina langu
Mmh kweli elimu haina mwisho, hata hili ni lakujifunza
Dah nimepata hisia za ile maiti iliyokuwa imeiva leo kule mochwari... Mikono ilikuwa kama huoHii ndio tunayoiita View attachment 726023 Finger licking good!!!
Muosha maiti!? Je, ni kweli?Dah nimepata hisia za ile maiti iliyokuwa imeiva leo kule mochwari... Mikono ilikuwa kama huo
Ahaaa!! Kumbee!!Hapana mhudumu wa chumba cha maiti
Anayemmiliki huyu dada kwa kweli anafaidi..sio kwa mapishi haya
Yupo Tabata Kisukuru. Check naeAnayemmiliki huyu dada kwa kweli anafaidi..sio kwa mapishi haya
Mkuu una hadi info zake??Yupo Tabata Kisukuru. Check nae