Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Dah nimepata hisia za ile maiti iliyokuwa imeiva leo kule mochwari... Mikono ilikuwa kama huo
Hata kama ingekuwa hiyo ndio maiti uliyosema, mi ningeila. Ingekuwa imeiva utam kweli [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Kinywaji muhimu sn...cku nazorudi hom nmechoka km leo
df44f25d2e0e68ea88e113da4682eea0.jpg
wewe jamaa unajipunguzia siku za kuishi taratibu unaulaji wa ovyo sana.... ni sumu unajaza kwenye huo mwili.
 
Back
Top Bottom