babulakibaha
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 287
- 326
Check pm yakeMkuu una hadi info zake??
Yupo Tabata Kisukuru. Check nae
Kwahiyo nikucheki hapo sio??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hata kama ingekuwa hiyo ndio maiti uliyosema, mi ningeila. Ingekuwa imeiva utam kweli [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]Dah nimepata hisia za ile maiti iliyokuwa imeiva leo kule mochwari... Mikono ilikuwa kama huo
wewe jamaa unajipunguzia siku za kuishi taratibu unaulaji wa ovyo sana.... ni sumu unajaza kwenye huo mwili.Kinywaji muhimu sn...cku nazorudi hom nmechoka km leo
Aliyekwambia nataka niishi miaka 100 nani?!wewe jamaa unajipunguzia siku za kuishi taratibu unaulaji wa ovyo sana.... ni sumu unajaza kwenye huo mwili.
utaishi hiyo michache ila cha moto utakiona achana na magonjwa yanayoletwa unaulaji mbovu kama wako...... Yanatesa kisawasawaAliyekwambia nataka niishi miaka 100 nani?!
Sasa ww utapungukiwa na nn mm nkiishi miaka michache?!.utaishi hiyo michache ila cha moto utakiona achana na magonjwa yanayoletwa unaulaji mbovu kama wako...... Yanatesa kisawasawa
Tunajaribu kushauriana mkuu sijakupangia kiongozSasa ww utapungukiwa na nn mm nkiishi miaka michache?!.
Hela yangu halafu ww ndio unipangie kula,unanisaidia kuitafuta?
Natakiwa ninywe redbull?Ukiwa na uwezo kifedha usipoangalia vitu unavyokula,mbeleni unaweza kuja kuteseka hadi ukatamani usingekuwa na hela..vitu kama azam energy drink sio vitu vya kunywa kama mtu unajali afya yako
MusuliLate Dinner
Home made [emoji4]View attachment 727108
NIMEIELEWA ZAIDI HIINIMEPAMISI MWANZA KULE UNAKULA VITU NATURAL TOKA ZIWANI
TULIITA UKETOView attachment 572453
Wazee wa Swanga njooni tule amakonde pa