Uzi wa vyakula tu

Nahisi nilizidisha moto wa chini. Maana ilitoka chini imeungua kama mkaa 🤣. Ila juu Sasa nzurii. Hadi birthday ya mwanangu ikaharibika, Kwa kujifanya ujuaji. Ningeenda nunua hata yasingenitokea 😅🙆
Pole
Baadaye utaweza.

Mimi siku ya kwanza kupika nilizidisha blueband..nilichochea ile keki usiku kucha ,,ikawa inachemka tu kama chemchemi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…