Unamaliza wote hao[emoji23][emoji23]
View attachment 2260938ongeza mchuzi wa chukuchuku hiyo kuku tumwagie hapo juu mammy
PoleNahisi nilizidisha moto wa chini. Maana ilitoka chini imeungua kama mkaa 🤣. Ila juu Sasa nzurii. Hadi birthday ya mwanangu ikaharibika, Kwa kujifanya ujuaji. Ningeenda nunua hata yasingenitokea 😅🙆
Cookery ya mchongo🤣Dada wewe utakua umesoma cookery sio bure [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
asente ntakutaarifu nkishiba km sijazimika
Mchina hafai[emoji3064][emoji15]View attachment 2262420
Safi Kiongozi
Kumbe hata ukizidisha blueband inatoka vibaya eeh[emoji134]Pole
Baadaye utaweza.
Mimi siku ya kwanza kupika nilizidisha blueband..nilichochea ile keki usiku kucha ,,ikawa inachemka tu kama chemchemi.
Bora itoke vibaya angalau unaiona[emoji1787][emoji1787]Kumbe hata ukizidisha blueband inatoka vibaya eeh[emoji134]
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
[emoji1787]asente ntakutaarifu nkishiba km sijazimika
Ohoo basi itakuwa nami nilizidisha pia [emoji23]. Maana ilikuwa yachemka kwa juu hatariBora itoke vibaya angalau unaiona[emoji1787][emoji1787]
Ukizidisha blue band inachemka kama mafuta.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Keki ni vipimo usizidishe wala kupunguza na ata ukiipiga sana au ukatumia mayai ya baridi napo tegemea kutoka vibayaKumbe hata ukizidisha blueband inatoka vibaya eeh[emoji134]
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
ndioZa Maji
Ukiona tu haikaziki ujue blueband imezidi.Ohoo basi itakuwa nami nilizidisha pia [emoji23]. Maana ilikuwa yachemka kwa juu hatari
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app