Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
πππHiyo sana ni ziada tu .. Mvuto wake unatosha kabisa
umeisha kuwa mtaalam tayari
Ah kumbe uji ndo unachanganywa kiivyo eeh?. Asante sana ngoja na Mimi nijaribu tena. Maana nahisi nilikosea kwenye kuchanganya.
Hizi nazipendaga lkn zinajua kutoka ngumu balaa
Yeah, naimani nitajitahidiUkiona tu haikaziki ujue blueband imezidi.
Next time utapika vizuri.
Tobaaaa na mie vyote ndo nilivyovifanya hivyoKeki ni vipimo usizidishe wala kupunguza na ata ukiipiga sana au ukatumia mayai ya baridi napo tegemea kutoka vibaya
Jitahidi tu kukoroga sana.Ah kumbe uji ndo unachanganywa kiivyo eeh?. Asante sana ngoja na Mimi nijaribu tena. Maana nahisi nilikosea kwenye kuchanganya.
Halafu pale kwnye kuisaga sukari na mwiko. Mbona huwa haisagiki kabisa na Kwa haraka. Kwanini?. Au nyie mnaisagaje?
[emoji1787][emoji23]Saint Anne ni maana halisi ya mwanamke. I dont sure kafundwa au vipi [emoji39][emoji39][emoji39]. Sir Midabwada nimekwama hapa.
Ukitaka kupika chapati nzuri za kusukuma lazima uwe mpole,usiwe na haraka.Hizi nazipendaga lkn zinajua kutoka ngumu balaa
Utaweza tu[emoji23]Yeah, naimani nitajitahidi
Darmian tupostie Dinner yako ya leo.Nice try.
Tunakujua wewe FundiHazikuwa tamu sana.
Unaijulia
Unaupiga mwingi shangazi wa Junia.