Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Ukitaka kupika chapati nzuri za kusukuma lazima uwe mpole,usiwe na haraka.
Ukifanya haraka haraka lazima utoe chapati ngumu.

Kanda vizuri hadi upate ule ulaini unaoutaka.


Funika,kama dakika 15 hivi...sehemu yenye joto.

Baadaye unaendelea..
Mimi nikishasukuma mara ya kwanza nikatengeneza maduara ya mikunjo,huwa nafunika tena ili zilainike zaidi..
Nikifunua hapo naanza kusukuma sasa Kwa ajili ya kuzipikaa.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Safii, Asante Kwa elimuu
 
20220619_183033.jpg
 
Back
Top Bottom