babulakibaha
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 287
- 326
Ndo nini hii Mamy??
HahahahahahahahahaVitumbua sivipendiii
Mkuu unakulaje vyote hivyo?
Eeenheeeee, hapa ndo penyewe hapaaa!
HahahahahahahahahahahahaCoca ni sumu......
Naonaga chapat za maji ni nzuri saaana kuliko za kusukuma.
Ndo nini hii Mamy??
Naonaga chapat za maji ni nzuri saaana kuliko za kusukuma.
Umenikumbusha marehemu Babu. Tunakula uketo huku Babu anasimulia hadithi.View attachment 572453
Wazee wa Swanga njooni tule amakonde pa
Achana na hizi vitu...... Zinanimaliziaga mda sana
[emoji23] finger licking,,yaani unakua kama addicted hiviAchana na hizi vitu...... Zinanimaliziaga mda sana
Ndo hvo[emoji23] finger licking,,yaani unakua kama addicted hivi
Hizi biskuti ni tamu balaa...
Na ukizizoea ni shidaHizi biskuti ni tamu balaa...
Mkuu nimeona ujue! "Eet sum moo" [emoji13] Yaani hizo ni shigi ni shida[emoji13] Na hizo kashata mi nilifikiri za bangi [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Vitumbua 20 chai kikombe kimoja?!
Jirani na kwangu kuna jamaa anakula mchele kilo moja peke yake tena saa nyingine unakuta mboga mchicha fungu moja...nitampiga picha siku moja