Itabidi ufanye timing😂Nipe ratiba hakuna noma kabisa
Nifundishe na mimi
Asante😂Maziwa ya lita 1, chukua tende za ¼ kilo,
Toa kokwa za tende ibaki ile nyama ya tende 😋 yenyewe, kisha ziloweke kwenye maziwa unaweza kucha kwa muda au ukasaga hapo hapo
Ikikupendeza unaweza weka ndizi 🍌
Unaweza sagia na karanga, korosho, wemgine hadi mihogo.
Binafsi napenda kuweka karanga ama korosho baada ya kuwa nishasaga juice, ndio naweka karanga ama korosho 😋
Umenikumbusha ngoja nikaitoe kwenye friji niigide😂
Mambo ya dumu la lita 5 kukaa mwezo mzima ni wakishua
Sisi wa USWAHILINI MATOLA siku 3 tu, juisi kama maji 😂
Umenikumbusha ngoja nikaitoe kwenye friji niigide[emoji23]Maziwa ya lita 1, chukua tende za ¼ kilo,
Toa kokwa za tende ibaki ile nyama ya tende [emoji39] yenyewe, kisha ziloweke kwenye maziwa unaweza kucha kwa muda au ukasaga hapo hapo
Ikikupendeza unaweza weka ndizi [emoji529]
Unaweza sagia na karanga, korosho, wemgine hadi mihogo.
Binafsi napenda kuweka karanga ama korosho baada ya kuwa nishasaga juice, ndio naweka karanga ama korosho [emoji39]
Umenikumbusha ngoja nikaitoe kwenye friji niigide[emoji23]
Mambo ya dumu la lita 5 kukaa mwezo mzima ni wakishua
Sisi wa USWAHILINI MATOLA siku 3 tu, juisi kama maji [emoji23]
Nawaza tu ulivyokuwa SA chuo Cha kibudha..utakuwa ulikuwa unazimiss sana nyama.
Kwakweli lakini ikafika mahali nikawa vegen kabisaaaNawaza tu ulivyokuwa SA chuo Cha kibudha..utakuwa ulikuwa unazimiss sana nyama.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Itabidi ufanye timing😂
Utanifanya nifuge kuku