Napenda sana mishkaki nyama iwe na mafuta mafuta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napenda sana mishkaki nyama iwe na mafuta mafuta.
Kuna watu wanakula maisha jamaniiiii
Hahahahaha mambo ya primary hayaDah mdomo umejaa mateView attachment 738749
Mods wafkirie juu ya huu uzi, watu tunachuma dhambi kila dakika.Na hii mvua..View attachment 739068
Pumbu za mbuzi!Hii ni nini Mkuu?
Sijawahi kulaga hii kitimoto yenye mchicha ndani, huwa ni tamu sana?
Usiku huu hii ndo post ya mwisho kwangu, sitaki kabisa kuendelea kusoma post zilizopo mbele. Naomba kuishia hapa usiku huu.
Natimiza miaka 6 sasa bila kula kande, na sitakuja kula maishani mwangu kabisa.Hiki chakula sikipendi kuliko maelezo.
Hii kitu ilivyotamu waweza maliza unga nusu.Dinner at home
[HASHTAG]#bachelorlife[/HASHTAG]View attachment 744717
Doooooh, watu wanakula pumbu za mbuzi???????Pumbu za mbuzi!
Hii ni balaa hiii[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] View attachment 746820
Tamu sana bro [emoji39]Doooooh, watu wanakula pumbu za mbuzi???????
Mbona kama ni shingo za kuku?Tamu sana bro [emoji39]