Vikiwa tayari tuvioneNa ugali mchana umepita...
View attachment 2467705
Hivi hapo kwenye mabanda ni banda lipi huwa wana roast vizuri kwa uzoefu wako?Karibu kitimoto mkuu hapa mabanda ya walamba asali Iringa town.
Nishakulaa 😶Vikiwa tayari tuvione
Hii mboga hii uipate na tasi wa kubanika na ugali wa muhogo [emoji39][emoji39][emoji39]Na ugali mchana umepita...
View attachment 2467705