Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muheshimiwa
Sio wewe peke yako haha ana like mpk kwetu so tunapendwa wote acha ubinafsiMideko. Sjui unani crushia[emoji39],una like post zangu kila siku hasa za miaka ya 2017-21 ,nifungukie tu Mama,be a Hell of a Lady[emoji3], kama nakuona unavoeleza hisia zako[emoji39]
Watamu[emoji39]Nimechukua nyanya chungu nikakata,vitunguu vinne nyanya tatu hoho moja pilipili karoti moja.nikaweka mafuta sufuria nikavitupia koroga baada ya dakika tano nikaweka dagaa waliokaangwa..kaugali donaView attachment 2470820View attachment 2470822
Kazi kwenu ku like mabest zangu
Naona unatafanya maintaining ya nguvu za kiumeNimechukua nyanya chungu nikakata,vitunguu vinne nyanya tatu hoho moja pilipili karoti moja.nikaweka mafuta sufuria nikavitupia koroga baada ya dakika tano nikaweka dagaa waliokaangwa..kaugali donaView attachment 2470820View attachment 2470822
Kazi kwenu ku like mabest zangu
Aloooo[emoji39]
Hiyo n chapati au yai?
Hiyo n chapati au yai?
AiseeeHuo waitwa mkate wa ufuta yakhee!
Na kitoweo Cha tasi
Mrudishe tu wife..Nimechukua nyanya chungu nikakata,vitunguu vinne nyanya tatu hoho moja pilipili karoti moja.nikaweka mafuta sufuria nikavitupia koroga baada ya dakika tano nikaweka dagaa waliokaangwa..kaugali donaView attachment 2470820View attachment 2470822
Kazi kwenu ku like mabest zangu
Challenge accepted [emoji419]