Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

322252245_5203955003038791_4224998695146156824_n.jpg
Kiongozi[emoji39]
 
Nimechukua nyanya chungu nikakata,vitunguu vinne nyanya tatu hoho moja pilipili karoti moja.nikaweka mafuta sufuria nikavitupia koroga baada ya dakika tano nikaweka dagaa waliokaangwa..kaugali dona
20230106_131407.jpg
JPEG_20230106_135751_813747117083217654.jpg




Kazi kwenu ku like mabest zangu
 
Back
Top Bottom