Hii inaitwa mateso bila chuki[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] View attachment 746820
Nenda Vingunguti kwa kimeru au pugu uone wanavyo zigombea [emoji38]Mbona kama ni shingo za kuku?
Hii kitu ilivyotamu waweza maliza unga nusu.
Sawasawa mchaga..Hapa Je??????? [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] View attachment 746886
Nakuunga mkono. Kande ni chakula Cha hovyo kwa mtazamo wangu tokea dunia iumbwe. Mara ya mwisho kula kande ni 2005. Tena nilikula vijiko 2 tuNatimiza miaka 6 sasa bila kula kande, na sitakuja kula maishani mwangu kabisa.
Unaogopaaa kujambaaaNakuunga mkono. Kande ni chakula Cha hovyo kwa mtazamo wangu tokea dunia iumbwe. Mara ya mwisho kula kande ni 2005. Tena nilikula vijiko 2 tu
Nakuunga mkono. Kande ni chakula Cha hovyo kwa mtazamo wangu tokea dunia iumbwe. Mara ya mwisho kula kande ni 2005. Tena nilikula vijiko 2 tu
Nimeuona mguuSupu makolonyaaaView attachment 747038
Sofaaa hilo bhnNimeuona mguu
Dah[emoji8] [emoji7] CHAMDEKO wangu[emoji8][emoji8]View attachment 747166
Mme wangu usisahau kunitumia chakula ulichokulaaa kazini?Dah[emoji8] [emoji7] CHAMDEKO wangu