Duuh picha in 2mb tuoneeni huruma jamani uzi tunaupenda tatizo bando
Kwa kweli hiki chakula kimenishinda jamaniMamiloo kapika kaniletea [emoji39][emoji39]View attachment 2470779
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwannKwa kweli hiki chakula kimenishinda jamani
Hata sijui, sikipendi tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann
Vyuma vimekaza, Njaa-nuary kibokoS mnajua tuko January [emoji2960]. Kuku n anasaView attachment 2473412
Noma kabisa [emoji23]Vyuma vimekaza, Njaa-nuary kiboko
Kitunguu kwa wingi kisha roast na mazagazagaMsaada
Mapafu ya Mbuzi hupikwa?
Kama ndio hupikwaje?
Moyo na Figo za Mbuzi hupikwaje?
Maini ya Mbuzi hupikwaje?
Kuna sehemu kawe huwa nanunua maini ila huwa natupa mapafu, moyo na mengineyo sababu sijui pika
Magimbi?Nayapenda sana, uyapate yenye unga yale na chai ya rangi...hapo mwaka mzima naweza kula
Sent using Jamii Forums mobile app