Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Stater

5BE58D58-2698-4CDB-8977-2EDB75C36ACD.jpeg
 
Hawa ndio kuku aliwaponda mmakonde naada ya kukutana na makukuJINGA ya dar(broilers)

Mmakonde alienda mjini, aliporudi kwao kwenye stori wakawa wanaongelea kuku, ndipo kwa sifa akawaambia wenzake
"kuku!!! Kuku N'jini huko, kuku unakula paka N'fupa, sio kuku huku anapigana na nyoka na nyoka anakufa, huyo kuku au zimwi" [emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23] yani broiler nakulaga kwa mwezi sijui mara moja sometime hata inapita miezi mitatu sijala.
 
Back
Top Bottom