babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Okay ile hayako popular kule hayo.Hapana Hayo ni meupe Kama njugu
Mboga nyingine unaweza pika mboga ya majani yoyote unayopendelea isipokuwa tembele na mlenda.Hongereni kwa vyakula vizuri na lishe bora viongozi, inapendeza kuona hali ya upishi na usafi wa hali juu. 👏
—
Samahani naomba recipes za aina ya mboga inayoweza kutumika na chapati ukiachia maharage. Recipes zizingatie sio mtumiaji wa nyama, samaki, dagaa na bidhaa za wanyama.
Shukrani. 🙏
Okay ile hayako popular kule hayo.
Kuna baadhi ya mazao Mbeya wanaringa kula,yaani ni vyakula vya mifugo.
Kuna ndizi ilikua inaitwa harare walikua hawali kabisa wanatupia nguruwe.
Okay ile hayako popular kule hayHapana Hayo ni meupe Kama njugu
Chapati tembele jaribu lete mrejesho😁.Hongereni kwa vyakula vizuri na lishe bora viongozi, inapendeza kuona hali ya upishi na usafi wa hali juu. 👏
—
Samahani naomba recipes za aina ya mboga inayoweza kutumika na chapati ukiachia maharage. Recipes zizingatie sio mtumiaji wa nyama, samaki, dagaa na bidhaa za wanyama.
Shukrani. 🙏
Asante, nitakuja jaribu hii.Habari..
Sisi kuna menu huwa tunaenda kula kwenye mgahawa mmoja wa kihindi, inaletwa hiyo curry na chapati au Naan. Siku moja nikamuuliza chef inavyopikwa akanielekeza sababu tumezoeana sana, na i went to try ikatoka perfect.
Recipe:
Dengu iliyochemshwa kiasi
Nyanya moja.
Kitunguu maji kikubwa
Garlic punye 3 au 4.
Viazi mviringo vikubwa vi3
nyanya paste kijiko cha chakula 1.
Tangawizi mbichi kijiko cha chai 1.
Paprika kijiko cha chai 1
manjano ya unga kijiko cha chai nusu. (kama unapendelea)
Curry powder kijicho cha chai 1 (kama unapendelea)
Nazi 1.
Chumvi kiasi.
Cauliflower kiasi.
Pilipili zile ndefu za kijani 2, ndefu nyekundu 2, na mbuzi moja. (pilipili unaweka kwaajili ya harufu hivyo usizipasue hata kidogo)
Majani ya giligilani au majani ya kitunguu. (option)
Kupika. Process yake ni kama ya kuunga nyama au mchuzi wa aina yeyote.
Kaanga kitunguu kisiwe cha brown, add garlic+Ginger, then add nyanya iliyokatwa katwa koroga ikikaribia kuiva add nyanya paste na viungo vyote vya unga unavyoenda kutumia, add viazi korogo koroga kabla havijaenda kuiva weka dengu yako, weka na cauliflower angalia zisijevurugika. acha viive kidogo weka tui lako la nazi na ka chumvi, pambia kwa juu na pilipili zako ambazo hazijapasuliwa na majani ya vituunguu au majani ya giligilian. Then wapakulie wajilambe na chappat zako.
NB. Cauliflower na viazi lazima zionekane ndio tunazila kama nyama, yaani tonge nyama.
Geeez....I completely missed that part!!🫣🫣Oh! Asante Lizzy
Pengine nimewasilisha vibaya, lakini namaanisha situmii nyama na viumbe hai vingine. Hata likes nakupatia kwenye vyakula visivyo na wanyama. 🥹
Great recipe though, naamini wengine watanufaika. 🙏
Asante nitazingatia hii milo sasa.Geeez....I completely missed that part!!🫣🫣
Hongera kwa kufanikiwa kutokula nyama/samaki, mie nilishawishiwa ila tamaa ikazidi nguvu.🙈
Jaribu Green Peas, Choroko, Chickpeas (Njugumawe), Lentils (Dengu) ambazo zote unaweza kuchemsha tu kisha ukaunga kitunguu na nazi tu. Siku ukitaka kubadili ladha ongeza hoho & carrot. Siku nyingine weka curry powder kunogesha zaidi. 🥥 isiwe inakosa!
Ukipata zote hizo utakuwa unabadili mlo kila siku....Asante nitazingatia hii milo sasa.
Maharage yamekuwa ndiyo mboga kuu ikufutiwa na mboga za majani na irish potatoes.
Pilau bubu, ndizi Kiziwipilau bubu na ndiziView attachment 2511758View attachment 2511761
Eeh hapo kachumbari tu imeisha hioPilau bubu, ndizi Kiziwi
Safi kabisa turudi kula sasa portion yetu ileee mke wangu🤗
Hauli nyama?[emoji15]Oh! Asante Lizzy
Pengine nimewasilisha vibaya, lakini namaanisha situmii nyama na viumbe hai vingine. Hata likes nakupatia kwenye vyakula visivyo na wanyama. 🥹
Great recipe though, naamini wengine watanufaika. [emoji120]