Uzi wa vyakula tu

Mboga nyingine unaweza pika mboga ya majani yoyote unayopendelea isipokuwa tembele na mlenda.

Kuzipika kwakwe ili zinoge na chapati usipike kama tunavyopika mboga za majani za kula na ugali. Hapa ili zinoge unaziunga kama tunavyounga mchuzi wa nyama au samaki.

a)Unaziunga kabisa, kaanga kitunguu kidogo, add garlic/ginger iliyosagwa kiasi, add nyanya iliyokatwa na nyanya paste kama utapenda, add mboga zako tia tui zito la nazi au nazi ya pakiti, koroga kupata sotojo. pika nazi iive tayari kwa kuliwa.

b)sotojo la uyoga. Process zake za kupika kama unapika mboga zingine zozote.
 
Okay ile hayako popular kule hayo.
Kuna baadhi ya mazao Mbeya wanaringa kula,yaani ni vyakula vya mifugo.
Kuna ndizi ilikua inaitwa harare walikua hawali kabisa wanatupia nguruwe.

Mkuu mbeya wana aina nyingi sana ya vyakula nna plan za kuhamia huko pia napapenda sabahu ni karibu na hometown sumbawanga ukiwa mbeya una 1000 mfukoni unakula unashiba.
Ukienda pale mbalizi kuna kila aina ya maharage unayoyajua wewe.
 
Hapana Hayo ni meupe Kama njugu
Okay ile hayako popular kule hay
Chapati tembele jaribu lete mrejesho😁.
Dengu,mbaazi la nazi
 
Asante, nitakuja jaribu hii.

Asante kwa recipes zote na ya pili nimepokea pia.

Napenda sana kupika na vyakula vyangu ni very limited hivyo inanifanya kubadili mara kwa mara au kubuni pishi jipya.
 
Oh! Asante Lizzy

Pengine nimewasilisha vibaya, lakini namaanisha situmii nyama na viumbe hai vingine. Hata likes nakupatia kwenye vyakula visivyo na wanyama. 🥹

Great recipe though, naamini wengine watanufaika. 🙏
Geeez....I completely missed that part!!🫣🫣

Hongera kwa kufanikiwa kutokula nyama/samaki, mie nilishawishiwa ila tamaa ikazidi nguvu.🙈

Jaribu Green Peas, Choroko, Chickpeas (Njugumawe), Lentils (Dengu) ambazo zote unaweza kuchemsha tu kisha ukaunga kitunguu na nazi tu. Siku ukitaka kubadili ladha ongeza hoho & carrot. Siku nyingine weka curry powder kunogesha zaidi. 🥥 isiwe inakosa!
 
Asante nitazingatia hii milo sasa.

Maharage yamekuwa ndiyo mboga kuu ikufutiwa na mboga za majani na irish potatoes.
 
Oh! Asante Lizzy

Pengine nimewasilisha vibaya, lakini namaanisha situmii nyama na viumbe hai vingine. Hata likes nakupatia kwenye vyakula visivyo na wanyama. 🥹

Great recipe though, naamini wengine watanufaika. [emoji120]
Hauli nyama?[emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…