Uzi wa vyakula tu

Maana ooh kila kipimo kiwe Sawa mi sipendi sukari nyingi kwenye cake
Nipe tip za kupika cake lain ilochambuka

Mi huwa natumia hiyo 👆👆
 
Mpaka ipoe kabisa iwe ya baridi?
Jaribu hii, a simple small cake(3/4 kg)
Zingatia Yale maelezo ya Jana niliyokupa.
Hakikisha hukosei hata moja.
4 eggs
130g prestige
155g flour
80g sugar
1 tsp baking powder
1tsp flavour
1tsp vinegar


Mimi sipendi sukari nyingi,kwahiyo huwa naweka kidogo tu na inakuwa tamu.
 
Jaman naangaliaga insta waarabu na wazungu wanapika cake jamani uwii
Hakikisha unafuata yale maelezo ya Jana.

Hasa pale mwanzo kwenye kuchanganya siagi na sukari

Pengine ni kwenye unga,
Ukiupiga sana utatoa keki mbaya.

Pengine ni kwenye baking powder.
Ukiweka mwanzoni unaiua nguvu yake.

Haya maelekezo ukienda kinyume lazima uchemke[emoji16]
 

Sawaaaaaa soon naifanyia kazi na nikupa picha
 
Yaan nilipika ikawa ugali [emoji23][emoji23] sijui nakosea kukoroga
Ukiangalia youtube rahisi kweli anne kaweza kwa kuangalia tu
Angalia vipimo kama vilikuwa sahihi pamoja na aina ya ukorogaji wako, wakati wa kukoroga usipende kwenda mbele na kurudi nyuma mara kwa mara kama umeanza kukoroga clockwise jitaidi usibadiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…