Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
🤣🤣🤣🤣Dah jf bwana wanaweza kukufanya ujione unakula matap tap tuu.
Tuone hayo matap tap basi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Dah jf bwana wanaweza kukufanya ujione unakula matap tap tuu.
Ugali tembele, ugali mandondo, chips yai, supu ya mapupu🤣🤣🤣🤣
Tuone hayo matap tap basi...
Mbona ndo hivyo tunatupia humu. Au ndo unatusema kijanja??🙄Ugali tembele, ugali mandondo, chips yai, supu ya mapupu
Mweee humu watu mapizza maburger, mara spaghetti sijui kuku kapakwa asali,Mbona ndo hivyo tunatupia humu. Au ndo unatusema kijanja??🙄
Siyapendi hayo matunda, harufu yake huwa inaniumiza kichwa hapata hadi kichefuchefuKwa hiyo hapo Haina shombo kabisa
Hiyo harufu wenyewe ndo tunaipenda.🙂
Siyapendi hayo matunda, harufu yake huwa inaniumiza kichwa hapata hadi kichefuchefu
Mweee humu watu mapizza maburger, mara spaghetti sijui kuku kapakwa asali,
Dah jf bwana wanaweza kukufanya ujione unakula matap tap tuu.
Mi sipendi mwanaume mvivu hata kupika chai au mayai hawezi yeye kukaa tu sipendii
Mtualikage basi uchoyo hadi kwenye vyakula jamani😜
Ubachelani
View attachment 2540981
Ya leo [emoji4]