Nilikula hivi kwa mwezi mmoja ,nilipungua mno tatzo watu walinijaza hofu hadi nikajihisi au nimeukwaa,nilipima mara mbili mbiliNataka nirudi tena huku[emoji38],nimeanza kunenepeana hovyo
Throw-back Thursday..1year ago, march15, 2022.
View attachment 2554208
Bamia usiache chiefNiongeze nini hapo wadau vilikeView attachment 2554936
Usiku hakuna haja ya kushindilia sanaUnaonja au??
Portion hii ni nzuri kwa wanaotaka kupunguza uzito.Nilikula hivi kwa mwezi mmoja ,nilipungua mno tatzo watu walinijaza hofu hadi nikajihisi au nimeukwaa,nilipima mara mbili mbili
Kuna wengine wakaanza kunishauri nipunguze stress mimi bado mdogo
Kuna mtu hapa hapendi tambi wala sausages 😀Tambi na sausage au nyama ya kusaga
upo sahihiPortion hii ni nzuri kwa wanaotaka kupunguza uzito.
Watu wanahangaika na mazoezi,wakati kazi ndogo tu,punguza msosi, ndani ya mwezi mmoja tu,unakata kgs za kutosha.
Na wale wanaotaka kumaintain miili yao,yaani ukiwa Unakula hivi,haunenepi, zaidi tu unaweza kupungua..
Ukiona umeanza kupungua unaadjust tu kidogo kwa kuongeza portion.
Sana tu, ndo sababu ya mimi kupika la sivyo ningejiokotea kiporo nikala nikashibaAnakuhusu katika ukaribu wake!?
Anakuhusu katika ukaribu wake!?
Kwani mkuu nawe upo single mbona kama unajiandalia mwenyewe madikodiko?Nimewapata ngoja nikatafute vingineView attachment 2555021
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimechemka kuendelea na pishi langu naona nitatoa boko[emoji1][emoji1544][emoji1544][emoji1550]
Mmmh kuna samaki wa ajabu anatishaHuyu samaki anaitwaje wakuu.
kwa kweli ila anapatikana bongo na analiwa fresh , but jina lake ?Mmmh kuna samaki wa ajabu anatisha
Kuna wengine wanakula kenge wanasema samaki mbulu sijuikwa kweli ila anapatikana bongo na analiwa fresh , but jina lake ?