Duuuh jamaa wali mkavu na nyama kavu vinapitaje shingoni au kuna mchuzi umeuficha?
Jaribu kazimoto Pork Tabata au pale Africasana SinzaWakuuu naombeni kijiwe Chenye mbuzi choma
Nzuri
Yaani ile tamuuu, sehemu nyingi nanunua ikifika home ukipasha inakua ngumu..
Kwa Dar es salaam or Arusha
Haukukabi kooSipendi mchuzii Yaani raha wali mkavu mkavu hivi na samaki au nyama choma [emoji39]
Hivi pale kazimoto wako vizuri kweli nlipitia siku moja nkaona wana story nyingiJaribu kazimoto Pork Tabata au pale Africasana Sinza
Kesho nami nipike pilau sasaWeekend na mapishi.....View attachment 2565415View attachment 2565416
Wewe sasa ndo mpishi mzuri wa pilauWeekend na mapishi.....View attachment 2565415View attachment 2565416
Pako fresh tu.Hivi pale kazimoto wako vizuri kweli nlipitia siku moja nkaona wana story nyingi
Wine inapelekana na weekendKama hautoki unafanyaje? Kunywa ka wine ndani. ☺️View attachment 2565491
Baba Jana nilienda kununua maharage kwa mama ntilie jioni nikatoa wali kabla ya kwenda nikapitia na mbuzi choma kabisa kufika home kuonja Yale mandondo kumbe waliweka sukari yalikuwa kwaajili ya wanao futuru namimi maharage yenye sukari hata hatupatani so nilijaribu kuyadilut na chumvi kumix na maji yaligoma waliweka sukari ya kufa mtu nikayamwaga ndo nikaamua kula hivohivo.Duuuh jamaa wali mkavu na nyama kavu vinapitaje shingoni au kuna mchuzi umeuficha?
Lakini ulikuwa mtamu vibaya niliuwekea nazi na uliiisha [emoji16]Duuuh jamaa wali mkavu na nyama kavu vinapitaje shingoni au kuna mchuzi umeuficha?
Hajui tuSipendi mchuzii Yaani raha wali mkavu mkavu hivi na samaki au nyama choma [emoji39]
Huna appetite halafu bado unakula[emoji28]Siku ya Leo Sina kabisa appetite ya kula so nalalia pweza tu.View attachment 2565581View attachment 2565582
[emoji23][emoji23][emoji23]mfungo huu me mwenyewe jana nimekula maharage yanasukari kinomaBaba Jana nilienda kununua maharage kwa mama ntilie jioni nikatoa wali kabla ya kwenda nikapitia na mbuzi choma kabisa kufika home kuonja Yale mandondo kumbe waliweka sukari yalikuwa kwaajili ya wanao futuru namimi maharage yenye sukari hata hatupatani so nilijaribu kuyadilut na chumvi kumix na maji yaligoma waliweka sukari ya kufa mtu nikayamwaga ndo nikaamua kula hivohivo.
Tena anakunywa na mchuzi kabisa[emoji16]
Angesema tu anataka kula vitu vyepesi [emoji28]Tena anakunywa na mchuzi kabisa[emoji16]