Uzi wa vyakula tu

Duuuh jamaa wali mkavu na nyama kavu vinapitaje shingoni au kuna mchuzi umeuficha?
Baba Jana nilienda kununua maharage kwa mama ntilie jioni nikatoa wali kabla ya kwenda nikapitia na mbuzi choma kabisa kufika home kuonja Yale mandondo kumbe waliweka sukari yalikuwa kwaajili ya wanao futuru namimi maharage yenye sukari hata hatupatani so nilijaribu kuyadilut na chumvi kumix na maji yaligoma waliweka sukari ya kufa mtu nikayamwaga ndo nikaamua kula hivohivo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]mfungo huu me mwenyewe jana nimekula maharage yanasukari kinoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…