Sasa huo mwingi aiseeHuu ugali ni kidogo?
[emoji122]bravo hatua nzuri sana kila la kheri katika kutafuta kwako umpate alie sahihi.Kaka nilisahau kukujuza aise Rasmi Nimeanza leo kutafta mchumba ili baada ya miaka minne nimuoe sasa
NyamaUmetamani ni soseji au ndizi
Mi napenda kuku banaNyama
Mnaruhusiwa kula ofisini?Mara moja moja kibaruani nikipigwa na dhoruba ya njaa huwa naagiza msosi
Kuna migahawa wanajitahidi aise
Maharage yametiliwa nazi
Nyama zimerostiwa vizuri mno hlafu unapewa za kutosha sio za kuonja
View attachment 2576207
Umeona ukimaliza ulile kabisa[emoji12]
Unajua huwaga una upuuzi hukui tu 😂Umeona ukimaliza ulile kabisa
What if the problem is hungerIf the money u have can’t solve the probs u have, eat that money 😂😂View attachment 2578848
Tunauza mikaa bei rahisi tu, ulizia baada ya miaka 6 upewe branch karibu yako.Kaka nilisahau kukujuza aise Rasmi Nimeanza leo kutafta mchumba ili baada ya miaka minne nimuoe sasa
eat that money [emoji23][emoji23]If the money u have can’t solve the probs u have, eat that money [emoji23][emoji23]View attachment 2578848