Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

IMG_8584.jpg
 
Kaka nilisahau kukujuza aise Rasmi Nimeanza leo kutafta mchumba ili baada ya miaka minne nimuoe sasa
[emoji122]bravo hatua nzuri sana kila la kheri katika kutafuta kwako umpate alie sahihi.

Me nmewapoteza wawili katika kipindi tofauti laiti kama nngejua vile walipigania tusitengane kipindi wapo chuo leo hii ningekuwa mmoja wa wanaume wenye furaha zaidi duniani katika mahusiano yao.
 
Back
Top Bottom