Vitumbua vitano sio habaMwanaume.. vitano mbona vidogo
Nifungulie naona umenilimit kuview profile picMwanaume.. vitano mbona vidogo
Bhana we kuna tuupunguf twa nyama shavun jambo linalopelekea kutokea kwa tushimo twa maajab noma sanaLiving Pablo umeiona hyo profile ?
Nawakubali sana member waadilifu wa hili jukwaa. Mnanisaidia sana nakula kwa macho tu halafu nalidhika sababu mi ni vegan
kuwa vegan? Nilijifunza kwa njia ndefu wakati namuuguza Mzee , Kupitia Maradhi yake mengi Prof janabi alituelekeza ni kuanzia kwenye hivi vyakula vyenu. Nikafanya maamuziUliwezaje?
Janab mbona nae afya mbovu kama kaathirikakuwa vegan? Nilijifunza kwa njia ndefu wakati namuuguza Mzee , Kupitia Maradhi yake mengi Prof janabi alituelekeza ni kuanzia kwenye hivi vyakula vyenu. Nikafanya maamuzi
Hilo gumu mimi kulijibia, ila nini kimefanya uone anaafya mbovu?Janab mbona nae afya mbovu kama kaathirika
Kiazi kitamuView attachment 2579310
Sawa hongera kwa kuacha kula nyama aiseeHilo gumu mimi kulijibia, ila nini kimefanya uone anaafya mbovu?
Chief kumbe nawe ulisoma GeographyBhana we kuna tuupunguf twa nyama shavun jambo linalopelekea kutokea kwa tushimo twa maajab noma sana
Erosion(glacial,stream) nazo inapelekea formation ya bonde.Chief kumbe nawe ulisoma Geography
Hivi sababu kuu nyingine ya hivyo vibonde ukiachana na plate tectonic ni nini?
Safiii chief nashukuruErosion(glacial,stream) nazo inapelekea formation ya bonde.
Sabato njema na nyimbo namba hizi 84 na 85.
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Sawa lakini tupeane mapema[emoji16]Sawa chief ukiwa overweight utatujuza tukupe ushauri wa therapy ya kupunguza uzito
Endelea kukandamiza vitumbua vitano na chai ya maziwa kila siku..tukutane baada ya miaka 10Sawa lakini tupeane mapema[emoji16]