Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Anhaa kumbe

Ila nitajie viungo vya kuweka kwenye mboga mfano rosti ya nyama ili kuongeza ladha maana mimi nawekaga kitunguu,nyanya,ndimu basi [emoji28]

Nikiendaga sehemu nyingine nakuta wamepika mboga tamuu nabaki najiuliza wanaweka manini mule

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
😂😂 me mwenyewe sio mtumiaji sana wa spices.

Naweka tu chumvi, lemon(nilipo hamna kitu inaitwa ndimu. Ni mpaka labda uwende masoko makubwa… kitunguu saum + tangawizi.
Wakati wa kuchemsha huo… sometimes na soy sauce or vinegar, Giligilani.

Na pia nyama wanadai ukitaka iwe tamu ishemshe kwa maji kidogo kidogo.

Kwenye kuunga unaongeza kati ya mchuzi mix, curry powder, aromat, beef/ chicken masala.
Dahan aongezee
 
😂😂 me mwenyewe sio mtumiaji sana wa spices.

Naweka tu chumvi, lemon(nilipo hamna kitu inaitwa ndimu. Ni mpaka labda uwende masoko makubwa… kitunguu saum + tangawizi.
Wakati wa kuchemsha huo… sometimes na soy sauce or vinegar, Giligilani.

Na pia nyama wanadai ukitaka iwe tamu ishemshe kwa maji kidogo kidogo.

Kwenye kuunga unaongeza kati ya mchuzi mix, curry powder, aromat, beef/ chicken masala.
Dahan aongezee
Unajua🤲👐🏽👐🏽👐🏽
 
[emoji23][emoji23] me mwenyewe sio mtumiaji sana wa spices.

Naweka tu chumvi, lemon(nilipo hamna kitu inaitwa ndimu. Ni mpaka labda uwende masoko makubwa… kitunguu saum + tangawizi.
Wakati wa kuchemsha huo… sometimes na soy sauce or vinegar, Giligilani.

Na pia nyama wanadai ukitaka iwe tamu ishemshe kwa maji kidogo kidogo.

Kwenye kuunga unaongeza kati ya mchuzi mix, curry powder, aromat, beef/ chicken masala.
Dahan aongezee
Mbona mavitu mengi hivyo dah najiona kabisa naenda kutoa boko[emoji28][emoji28]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Wali wa cooker..
B0C4358B-130A-40B1-930B-DE07BCB582E8.jpeg
 
Back
Top Bottom