[emoji39] Utaoa kweli??View attachment 2589735
Pishi la Mwanaume [emoji1548]
Uwii ndio ipoje mamie?Kama makange ila yenyewe inakua tofaut kidogo dear
😂😂 me mwenyewe sio mtumiaji sana wa spices.Anhaa kumbe
Ila nitajie viungo vya kuweka kwenye mboga mfano rosti ya nyama ili kuongeza ladha maana mimi nawekaga kitunguu,nyanya,ndimu basi [emoji28]
Nikiendaga sehemu nyingine nakuta wamepika mboga tamuu nabaki najiuliza wanaweka manini mule
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Unajua🤲👐🏽👐🏽👐🏽😂😂 me mwenyewe sio mtumiaji sana wa spices.
Naweka tu chumvi, lemon(nilipo hamna kitu inaitwa ndimu. Ni mpaka labda uwende masoko makubwa… kitunguu saum + tangawizi.
Wakati wa kuchemsha huo… sometimes na soy sauce or vinegar, Giligilani.
Na pia nyama wanadai ukitaka iwe tamu ishemshe kwa maji kidogo kidogo.
Kwenye kuunga unaongeza kati ya mchuzi mix, curry powder, aromat, beef/ chicken masala.
Dahan aongezee
Mbona mavitu mengi hivyo dah najiona kabisa naenda kutoa boko[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23] me mwenyewe sio mtumiaji sana wa spices.
Naweka tu chumvi, lemon(nilipo hamna kitu inaitwa ndimu. Ni mpaka labda uwende masoko makubwa… kitunguu saum + tangawizi.
Wakati wa kuchemsha huo… sometimes na soy sauce or vinegar, Giligilani.
Na pia nyama wanadai ukitaka iwe tamu ishemshe kwa maji kidogo kidogo.
Kwenye kuunga unaongeza kati ya mchuzi mix, curry powder, aromat, beef/ chicken masala.
Dahan aongezee
Mbona mavitu mengi hivyo dah najiona kabisa naenda kutoa boko[emoji28][emoji28]
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Huo mchele gani mbona unavutia,ni Basmati auWali wa cooker.. View attachment 2590304
Inabidi nianze kujaribu....Hivyo viungo ulivyotaja vinauzwa wapi,magengeni au madukani[emoji28][emoji23][emoji23] jaribu tu, sio kazi hata
Kawaida tu, kg1 ni 3500.
Yah, nenda supermarket utapata vyoteInabidi nianze kujaribu....Hivyo viungo ulivyotaja vinauzwa wapi,magengeni au madukani[emoji28]
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Asante mammy leo mama ntilie akasome tu😁
Ntalifanyia kaziYah, nenda supermarket utapata vyote
Ama sokoni, maduka yenye nafaka
Nenda supermarket or maduka ya nafaka. Korie rice grade 1 from Mbeya. Huwezi kosa.