Sana!!!Kibua kitamu, shida tumifupa jamani
Pole, kwanini uwe uji? Hapo cha kuzingatia si wingi wa maji tu. Na kama mchele na kipimo ni kile kile utakuwa ushazoea wingi wa maji kuupima na macho
Leo unatupikia nini [emoji39]
Mchele wa Pakstan
Nmeona mchele ulivyonyooka tu π
Jaribu, huwezi haribu sababu pia linakuwaga halina moto mkali sanaSana!!!
Ile ya pembeni kweli inaboa!!
Sijazoea kutumia plate ya umeme....ila ntajaribu leo nione.π€πΎπ€πΎ
Karibu tupike πNmeona mchele ulivyonyooka tu π
ππ andazi moja umelikatakata ili sahani ijae
Kakusindikizia coffee tu πΆβπ«οΈππ andazi moja umelikatakata ili sahani ijae
Good trial student π ππDepal kanifundisha kupika ugali....Asante sana mkuu [emoji28]View attachment 2606170
Sawa chef[emoji28][emoji28]Good trial student [emoji23] [emoji122][emoji122]
Next time uutengeneze round kama wa mgahawani/ Hotelini
Kitu ambacho nimewahi kujaribu kupika kwenye microwave ni π tu! π
Wali? π ungepress batan gani?Kitu ambacho nimewahi kujaribu kupika kwenye microwave ni π tu! π