Kawaida kama unapasha ila dakika za kutosha! πππWali? π ungepress batan gani?
Me naona hapa
Grill
Comb 1-3
Na manual sijui niliiweka mtaa gani
Hatari sana ππKawaida kama unapasha ila dakika za kutosha! πππ
Sema ilikuwa kitambo. Ngoja ntajaribu tena nikuonyeshe unavyotokea.π
Embu tuone hiyo model yako....
Nimekumbuka aunt yangu huwa anatumia sana kwa viazi na samaki.Hatari sana ππ
Mie nataka nijaribu kuchoma..
Hii kwenye high ndio kupasha.
M. High- defrost
View attachment 2606388
Yes rack ipo.Nimekumbuka aunt yangu huwa anatumia sana kwa viazi na samaki.
Ilikuja na baking rack???
View attachment 2606392
Maana ukitumia tray haitokua na ukavu....itakuwa kama ume-steam. Kama unayo weka samaki wako alafu weka power on High for about 15min uone. Kwa nyama itabidi uweke muda mrefu zaidi.. maybe 30 - 45min.. π€
Superb!!!Yes rack ipo.
So chombo nitachochomea ndio kitakaa juu ya hiyo rack?
Siku nijaribu kwa kuanza na samaki.
Hii inaenda kupigwa sa hii km ilivyo.
Ngoja wali upikwe sasaπππKibua cha nani π
Pika wali mwingi sasa
Hii ndo ile plastic mchele ileee
Hapa tunakula kiporo π
No.Hii ndo ile plastic mchele ileee
Seedless grapes π₯°
Mchele uko sambamba na bei yake.Mchele wa Pakstan
Haya bana sisi ngoja tuendelee kula wa 2100Mchele uko sambamba na bei yake.
Kg1 elf 4 [emoji23][emoji23]
Unachambuliwa kabisa.
Wapi huko mna mchele wa 2000? π€Haya bana sisi ngoja tuendelee kula wa 2100
Ole wako uweke maji kidogo
Hapa hapa Dsm, ila ndo uzingatie weka maji mengi vinginevyo mchuzi uwe mwingiWapi huko mna mchele wa 2000? [emoji848]
Huku mchele bei ndogo ni elf 3.
Wa 2k utapata wa vitumbua.
ndio huo ambao haushiki mafuta yan km kitumbo[emoji848]Hapa hapa Dsm, ila ndo uzingatie weka maji mengi vinginevyo mchuzi uwe mwingi
ur wellcome,kuna kipande cha kuku wakieyeji hujakiona?Seedless grapes [emoji3059]
Mayai na maziwa [emoji3059]
Mkate kula mwenyewe [emoji16]