Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,549
- 10,995
msaka nyoka tu mkuu[emoji23][emoji23]
Unakula mlo safi ulio kamili[emoji28]msaka nyoka tu mkuu[emoji23][emoji23]
Washa kuni chap mammy.Yani nimekipania...π€€π€€
Wali kesho maana gas imenikimbia wakati napika mboga. Nahisi nikiupika kwenye umeme unaweza kuwa uji.π₯΄
Vitu gani hivyo unakwepa kupika???Washa kuni chap mammy.
Ila mapishi yanahitaji moyo .
Hapa nna vitu viwili kupika ila naghairi kila mudaπ€£π€£π€£.
Mwisho vioze nimwage.
No leo navishulikia vizuri tu..
Duuh inabidi nipambane na umasikini wangu aseeee hii menyu sijui mara ya mwisho kula ni lini πππππ
Kwani samaki samaki sh. Ngapi???Duuh inabidi nipambane na umasikini wangu aseeee hii menyu sijui mara ya mwisho kula ni lini πππππ
Nasemea wali mkuuu sijaula kwa siku nyingi sana πππKwani samaki samaki sh. Ngapi???
Basi sawa!πNasemea wali mkuuu sijaula kwa siku nyingi sana πππ