π why?Umeolewa??
Amekuwa kama kachemshwa kawaida ππKawa mtamu???
Mbona hizi shortcuts zitakoma!ππ
Yani ukiwa na kauvivu kakupika unatupia tu kwenye microwave! π€Amekuwa kama kachemshwa kawaida ππ
Itayokoma ni hiyo microwave.
Naona kuna roast na kavu hapo[emoji39][emoji39][emoji39]tartiibu kisha tunahamia uzi wa wanywaji[emoji1787][emoji1787]View attachment 2609709
Naomba hiyo sahaniπ
Chele harage la kwenda..
Hako ka msimbazi hapo pembeni weka kwenye namba 07678 jina ni mpende mperenge..tartiibu kisha tunahamia uzi wa wanywaji[emoji1787][emoji1787]View attachment 2609709
Hizo punje za garlic vipi mkuu??
Zinasaidia morning glory hiyo au hujui zinaboost mananiliu huku chini πHizo punje za garlic vipi mkuu??
Hizo punje za garlic vipi mkuu??
π π π π π Umeogopa nn mkuuu ninangata kwaniNilitaka kuuliza nikaogopa!