Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
😂 why?Umeolewa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 why?Umeolewa??
Amekuwa kama kachemshwa kawaida 😂😂Kawa mtamu???
Mbona hizi shortcuts zitakoma!😁😁
Yani ukiwa na kauvivu kakupika unatupia tu kwenye microwave! 🤗Amekuwa kama kachemshwa kawaida 😂😂
Itayokoma ni hiyo microwave.
Naona kuna roast na kavu hapo[emoji39][emoji39][emoji39]tartiibu kisha tunahamia uzi wa wanywaji[emoji1787][emoji1787]View attachment 2609709
Naomba hiyo sahani😊
Chele harage la kwenda..
Hako ka msimbazi hapo pembeni weka kwenye namba 07678 jina ni mpende mperenge..tartiibu kisha tunahamia uzi wa wanywaji[emoji1787][emoji1787]View attachment 2609709
Hizo punje za garlic vipi mkuu??
Zinasaidia morning glory hiyo au hujui zinaboost mananiliu huku chini 😁Hizo punje za garlic vipi mkuu??
Hizo punje za garlic vipi mkuu??
😅😅😅😅😅 Umeogopa nn mkuuu ninangata kwaniNilitaka kuuliza nikaogopa!