F1 failureKwa hiyo ni form 4
Ewaaah kabisa, mkuu 😅😅😅Unapenda vita
kijana slow down....Ewaaah kabisa, mkuu 😅😅😅
Sema jf tamu sana kumbe hata wababa na wamama wazima wanaweza kuwa wajinga mkuu, kuliko sisi mkuu,
Daaah noma sana
Sipo serious though ila fresh acha ni 🤫kijana slow down....
shida sio dislikes, shida ni unavotukana watu....Sipo serious though ila fresh acha ni 🤫
Sawa mkuu, naacha serious ila wao ndo wamenianza sikua na shida na mtu 🤣🤣🤣shida sio dislikes, shida ni unavotukana watu....