Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Basi uwe unakatumia hako ili usiwe unazidisha, unless uwe na wageni.
Ugali sio nakula ila nafukia vibaya kuna siku nilipika dagaa wa Mwanza wale wa kwenye vipakti nikapika ugali wa unga nusu na robo nile mchana na jioni si unajua tena maisha ya ghetto kuepuka usumbufu kupika tena nikaweka kwenye hotpot kilichofuata nilikula msosi woooote mchana[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
 
Ikaenda kwa mteja.

I'm taking orders🤭
Anne Cakes😍
 

Attachments

  • IMG_20230516_080717_180.jpg
    IMG_20230516_080717_180.jpg
    452.1 KB · Views: 11
Back
Top Bottom