Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekula leo?😅😅😅😅😅
Hicho tosha kabisa tena one meal a day, mtindi wa kutosha umemaliza siku badae biereKwa mwanaume kwakweli hapana....
Navyopenda samaki sasa😋
Asante mammy yaani afadhali nna vyote hapo portion hiyohiyo
Huu ndo mlo haswa, ilo dona mlikua wangapi mkuu maana hapo ukihamia chooni unaweza kulala humohumo😁
Hivi viparachichi vya siku hizi vina ugonjwa gani.
Una midole gumba mizuri
MAtokeo ya dhambi kakaHivi viparachichi vya siku hizi vina ugonjwa gani.
Zamani nikienda kwa bibi RIP 🙏,
Yaani tulikua tunapika bonge la ugali.
Mboga takapela mnalichukua hapo nyuma mtini lishaanguka lenyewe limeiva hilo
yaani moja tu kubwa size kichwa cha mtu mzima😁
mnaweka chumvi ugali umeisha huo
Yalikua matamu balaa
Hapo kuna atu, tuntufye, lupakisyo aisee.
Yale yalikua maisha ingawa mikaptula yetu na suruali imetoboka huku tunapiga ngondi tu no shoe.
Ila tulikua na furaha na uhakika mlo upo.View attachment 2624783
Wala sio vizurii kabisaUna midole gumba mizuri
Samaki sharti ageuzwe
Hatari sana hii 😁Kwa vile umezidi utoro [emoji23]