Naomba hatua za kupika mlenda wa majani ya maboga na bamia
usikute hapajui anatabiriKwanza jifunze kutengeneza chakula katika mazingira safi.
Dar super market ukafate mapapai?
We baki huko huko shamba
Matunda yamejaa hata barabarani WAHA wanayauza
bila shaka ni dodoma hiiVitu ambavyo daslam tunapimiwa home sweet home karibuni tuvune alizeti,karanga,mahindi,mtama.View attachment 2653701View attachment 2653702
Singida mkuubila shaka ni dodoma hii
Singida muwan
zinafanana mkuu mandhari na ni majiraniSingida mkuu