Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naskia iko karibu na sabasaba hapo,Misuna stand hapa Karibu na sheli ya lake oil ni 2500 tu
Mammy hapo hata kudoea naona aibu khaah,🙈
Uzi wa vyakula tu,Wee jamaa unafanya kazi ikulu nn
Ndio ndio hata pale msufini Kuna nyama choma safi na supu ya kwenda.Naskia iko karibu na sabasaba hapo,
siku nyingi sijafika huko.
Stendi ya mjini ndo naijua vizuri tu.
Safi sana Singida nyama tu utachoka,zipo kila mahali mkuu.Ndio ndio hata pale msufini Kuna nyama choma safi na supu ya kwenda.
Sawa mkuu.[emoji2]Safi sana Singida nyama tu utachoka,zipo kila mahali mkuu.
Nicheck pm km kuna fursa yoyote kuna kijana anazubaa tu hapa.
Nachopendea huu mkoa wetu ndio hicho nyama utakula Hadi usaze na bei chini.Safi sana Singida nyama tu utachoka,zipo kila mahali mkuu.
Nicheck pm km kuna fursa yoyote kuna kijana anazubaa tu hapa.
Mmeanza ujuajiUzi wa vyakula tu,
rudi mstarini👉
Mkuu Mimi nimeshasepa nipo zangu kwa luguru saivi nimekuja kucheki mchele nikapige malundo daslam.Uzi wa vyakula tu,
rudi mstarini[emoji117]
Haya maharage sokoni yanaitwaje?
Mama ongeza kijiko nikusindikize safari😊
Poa check pmMkuu Mimi nimeshasepa nipo zangu kwa luguru saivi nimekuja kucheki mchele nikapige malundo daslam.
Weka msosi,mambo ya kazi yake hatutaki kujua hapa ni msosi tu.Mmeanza ujuaji
Sawa usihofu ntarekebisha chiefWeka msosi,mambo ya kazi yake hatutaki kujua hapa ni msosi tu.