Ila huu mzigo ukipoa unakua kokoto[emoji12][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2714826kazi tunafanya kwa shida lazma tule kwa afya
Kabisa chief.Kienyejii
Pole...Hawa mbuzi juzi nimeorder pizza ya 25,000 ikaja katoto pizza [emoji706]
Ajaribu na BBQ au Caeser pizzaukiweza ujaribu na peperoni utaipenda sana😅 ndo mother of all pizzas
Unakula sana na wewe.
Unakula sana na wewe.
Nilitaka kusema umezidi urohoo dinazardeSio peke yangu😂
kumbe na wewe unatumiaga hizi anasa😋Ajaribu na BBQ au Caeser pizza